Get New DJ Mixes
lyrics

Lyrics: Lody Music – Kubali Lyrics

Lyrics: Lody Music - Kubali Lyrics

Lyrics: Lody Music – Kubali Lyrics

“Lord Music – Kubali Rylics”

Yeah! Unalewa nini wakati mwenzako, Ameshakuacha yani hakutaki tena aah!

Unampigia nini akiona namba yako tu anakata, Huyo sio wako tena.

Hata usiwaze kulipiza kisasi, Kwa vijembe vingi huko status.

RELATED: AUDIO: Lody Music – Kubali Mp3 Download

Kwenye moyo wake huna nafasi easy, Tena usiwaze kujipiga risasi.

Usijinyonge usijigasi, Kwenye moyo wake huna nafasi easy.

Usilazimishe eeh!

Utazeeka vibaya, Asikulazimishe no nno no

Unaenda mishe mishe, Ndani analeta malaya

Asikubabaishe ooh! yeah yeah eh

Amekuacha we, umeachwa, Kubali kubali

Utampata wako mtapendana kwa dhati, Amekuacha we, umeachwa eeh!

Kubali kubali, Aah! Mapenzi yanauma eh

VERSE 2

Unayempenda kampenda mwengine, Huyo mwengine naye ana mwengine

Mwengine naye Kapendwa na mwengine, Moyo sukuma damu sio mashine

Yanakuumiza na pengine, Hauna budi kumpenda mwengine

mapenzi joto joto usipime, Moyo sukuma damu sio mashine

Penzi kiza kinene kiroho mbaya, Yanatesa tena vibaya

Ukitendwa una retire ah!,

Labda hufikii kina kwenye mapenzini, Ndo maana unaachwa matatani

Hufiki kina mapenzini, Mapenzi.

Usilazimishe eeh!

Utazeeka vibaya, Asikulazimishe no nno no

Unaenda mishe mishe, Ndani analeta malaya

Asikubabaishe ooh! yeah yeah eh

Amekuacha we, umeachwa, Kubali kubali

Utampata wako mtapendana kwa dhati, Amekuacha we, umeachwa eeh!

Kubali kubali, Aah! Mapenzi yanauma eh