KIMEWAKA..! WASHINDI 24 WATUA DAR KWA PIPA!
Kishindo cha Washindi wa Mtoko wa Kibingwa awamu ya 3🔥!
Hawa ni miongoni mwa WASHINDI 24 waliowasili kwa PIPA🛩️ kucheki Tanange la WATANI WA JADI KI-VIP🥳!
BATA ndiyo kwanza limeanzaaaaaaaaa…….🔥🔥
ShindaBilaMiyeyusho