Get New DJ Mixes
Dr Kiwanga

Jinsi Nilivyoimarisha Biashara Yangu Ya Chakula Kutoka Kibanda Mbaka Kuwa Hoteli

Jinsi Nilivyoimarisha Biashara Yangu Ya Chakula Kutoka Kibanda Mbaka Kuwa Hoteli

Ni lengo la kila mwanabishara kuona bishara yake inanawiri, Biashara inapoenda chini humfanya mwenye biashara kukosa imani na kazi ile na hata mara nyingi anaweza kuifunga na kujishugulisha na mambo mengine ambayo yanaweza kumpatia chochote mbali na bishara ile.

Niliishi mjini Mwanza ambapo nilikuwa nimefungua kibanda kidogo kwenye stendi ya magari mjini nyegezi, mbali na kuwa kibanda ilikuwa ni kijihoteli kidogo ambapo lengo langu lilikuwa kupata madereva na abiria wa magari waliotaka kula lakini mambo yalienda mrama kwani kwa siku nilirudi nyumbani bila hata ya kufikisha faida niliyokuwa natarajia.

watu wa pale stendi wote walienda kwenye migahawa ya wafanyabiashara wengine, Hali hii ilifanya vyakula vyangu kuharibika na mara kwa mara nilikuwa navimwaga, Hii haikunifanya mimi kukata tamaa kwani niliendelea na bishara ile kwa matumaini kuwa hapo mwishowe bahati itaanguka upande wangu.

Mara kwa mara wateja walipita biashara yangu wakielekea kwa wapinzani wangu kwenye biashara, Nilikuwa kwenye mikakati ya kufunga ile biashara kwani nilikuwa nimechoka na kila mara kubaki na chakula kwani hakuna hata yeyote aliyekuwa ana nunua.

Hii ilinifanya nionekane kama mtu ambaye hapiki chakula kizuri licha ya kuwa na uwezo huo kwani nilikuwa nimesomea mambo ya upishi katika chuo kimoja mjini dar es salaam.

Mara nyingi nilijiambia moyoni kwamba ule haukuwa wakati wangu kwani ilikuwa fursa nzuri ya wapinzani wangu kibiashara kubobea, Sikuwa na hela nyingine ambayo iwapo ningeifunga biashara ile ningefanya maswala mengine ambayo ningejikimu nayo kiamaisha.

Muda ulikuwa ukisonga na kwa kweli nilianza kuwa na wazo la kuifunga kazi ile ya kupika vyakula pale kwenye kituo cha magari, siku moja nilipokuwa nikienda kufungua kazi yangu nilikutana na muuzaji wa magazeti ambapo nilivutiwa na gazeti moja.

Kwenye gazeti nilipata kusoma kuhusu madaktari wa Kiwanga ambao walikuwa wamesaidia watu kadhaa kutoka katika hali mbaya zilizowakwaza hapo mwanzoni.

Nilichukua fursa ile kuwapigia simu na nikashtuka kwani walikuwa na ofisi zao mjini Kericho.

Walinitengea muda ili niweze kukutana nao ambapo hapo nilijua kwamba ingenigharim nauli kwani walikuwa mjini kericho kulingana na walivyonieleza.

Baada ya siku tano hivi nilifika ofisini mwao tayari kuwaambia yale yaliokuwa yakinikumba kwa wakati ule, Nilielezea yote na mara walinishughulikia na kunipa hakikisho kwamba bishara yangu ile itaimarika.

Nilikuwa na imani kwamba mambo waliyoniambia huenda yangetimia kwani kulingana na shuhuda zao nilizosoma kwenye nakala ile walikuwa ni watu wa kuaminika kwenye swala zima la miti shamba, Baada ya siku tatu biashara yangu ilianza kuwavuti wateja hata zaidi.

Nilifahamu fika kwamba mambo ambayo daktari Kiwanga alikuwa akiniambia yalikuwa yameanza kutima Baada ya wiki moja hivi nafasi ya wateja wangu hakutosha kabisa na hapo nikalazimika kutafuta nyumba kubwa zaidi kwani biashara ile ilikuwa imenawiri ajabu na Mapato yalikuwa ni mengi ajabu.

Niliweza kuajiri watu kumi walionisaidia kwani wateja walikuwa wakifurika kwenye hoteli yangu mpya. Daktari Kiwanga ana uwezo wa kutibu magonjwa kama vile kifafa, msukumo wa damu na mengineyo kwa muda wa siku tatu pekee.

Kwa mengi zaidi wasiliana nao kupitia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com ama kwenye wavuti www.kiwangadoctors.com ama waweza kuwasiliana nao kupitia nambari ya simu +254 769404965. Au Whatsapp Kwa Namba Hio.